iqna

IQNA

Shahat Muhammad Anwar
Wasomaji Maarufu wa Qur'ani Tukufu /23
TEHRAN (IQNA) – Shahat Muhammad Anwar alikuwa mmoja wa wasomaji mashuhuri wa Qur’ani Tukufu nchini Misri ambaye alipata umaarufu katika umri mdogo kwa sababu ya kipaji chake katika fani hii.
Habari ID: 3476473    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/27

Wasomaji maarufu wa Qur'ani Tukufu / 14
TEHRAN (IQNA) - Kufuatia kanuni za kisomo au qiraa na kuzingatia uwiano na ulinganifu ni miongoni mwa sifa za bora za qiraa ya Qur'ani Tukufu ya marehemu Shahat Muhammad Anwar wa Misri.
Habari ID: 3476233    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/11

Wasomaji maarufu wa Qur'ani Tukufu / 12
TEHRAN (IQNA) – Marehemu qari mashuhuri wa Misri Shahat Muhammad Anwar alikuwa na sauti maalum na nzuri pamoja na tabia ya heshima.
Habari ID: 3476169    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/29